Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Ikiwa nafsi inajiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kwa kutenda dhambi bila kukusudia juu ya mambo matakatifu ya Yehova,+ basi atamtolea Yehova kondoo-dume ambaye hana kasoro kutoka katika kundi, awe toleo lake la hatia,+ kulingana na ile thamani iliyokadiriwa ya shekeli za fedha,+ kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kuwa toleo la hatia.

  • Hesabu 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Sema na wana wa Israeli, ‘Kwa habari ya mwanamume au mwanamke, ikiwa watatenda yoyote kati ya dhambi za wanadamu kwa kufanya tendo la kumkosea uaminifu Yehova, nafsi hiyo pia imekuwa na hatia.+

  • Zaburi 51:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Dhidi yako wewe, wewe peke yako, nimetenda dhambi,+

      Nami nimefanya lililo baya machoni pako,+

      Ili uwe mwadilifu unapoongea,+

      Ili usiwe na lawama unapohukumu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki