Yeremia 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ‘Hakika macho yako na moyo wako haviko juu ya chochote ila pato lisilo la haki,+ na juu ya damu ya asiye na hatia ili kuimwaga,+ na juu ya kupunja na juu ya unyang’anyi ili kuyaendeleza mambo hayo.’ Mika 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+ Habakuki 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “ ‘Ole wake anayeipatia nyumba yake faida ya uovu,+ ili kukiweka kiota chake kileleni, ili kukombolewa kutoka mkononi mwa jambo lenye msiba!+
17 ‘Hakika macho yako na moyo wako haviko juu ya chochote ila pato lisilo la haki,+ na juu ya damu ya asiye na hatia ili kuimwaga,+ na juu ya kupunja na juu ya unyang’anyi ili kuyaendeleza mambo hayo.’
2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+
9 “ ‘Ole wake anayeipatia nyumba yake faida ya uovu,+ ili kukiweka kiota chake kileleni, ili kukombolewa kutoka mkononi mwa jambo lenye msiba!+