2 Samweli 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo hasira ya Daudi ikamwakia sana yule mwanamume,+ naye akamwambia Nathani: “Kama Yehova anavyoishi,+ mtu huyo aliyefanya hivyo anastahili kufa!+
5 Ndipo hasira ya Daudi ikamwakia sana yule mwanamume,+ naye akamwambia Nathani: “Kama Yehova anavyoishi,+ mtu huyo aliyefanya hivyo anastahili kufa!+