1 Samweli 26:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Jambo hili ambalo umefanya si jema. Kama Yehova anavyoishi,+ ninyi mnastahili kufa,+ kwa sababu hamkumlinda+ bwana wenu, mtiwa-mafuta wa Yehova.+ Na sasa ona mahali ulipo mkuki wa mfalme na gudulia la maji+ vilivyokuwa karibu na kichwa chake.”
16 Jambo hili ambalo umefanya si jema. Kama Yehova anavyoishi,+ ninyi mnastahili kufa,+ kwa sababu hamkumlinda+ bwana wenu, mtiwa-mafuta wa Yehova.+ Na sasa ona mahali ulipo mkuki wa mfalme na gudulia la maji+ vilivyokuwa karibu na kichwa chake.”