2 Samweli 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo hasira ya Daudi ikamwakia sana yule mwanamume,+ naye akamwambia Nathani: “Kama Yehova anavyoishi,+ mtu huyo aliyefanya hivyo anastahili kufa!+ 2 Samweli 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana nyumba yote ya baba yangu ingelikuwa si kitu ila kuhukumiwa kifo mbele ya bwana wangu mfalme, na hata hivyo ulimweka mtumishi wako kati ya wale wanaokula mezani pako.+ Basi bado nina nini kama dai la haki la kumlilia+ zaidi mfalme?”
5 Ndipo hasira ya Daudi ikamwakia sana yule mwanamume,+ naye akamwambia Nathani: “Kama Yehova anavyoishi,+ mtu huyo aliyefanya hivyo anastahili kufa!+
28 Kwa maana nyumba yote ya baba yangu ingelikuwa si kitu ila kuhukumiwa kifo mbele ya bwana wangu mfalme, na hata hivyo ulimweka mtumishi wako kati ya wale wanaokula mezani pako.+ Basi bado nina nini kama dai la haki la kumlilia+ zaidi mfalme?”