2 Samweli 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Daudi aliposikia hayo, alikasirika sana kwa sababu ya mwanamume huyo, akamwambia Nathani: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi,+ mwanamume aliyefanya hivyo anastahili kufa! 2 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 12:5 w10 5/1 30 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12:5 Mnara wa Mlinzi (2010),5/1/2010, uku. 30
5 Daudi aliposikia hayo, alikasirika sana kwa sababu ya mwanamume huyo, akamwambia Nathani: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi,+ mwanamume aliyefanya hivyo anastahili kufa!