16 Jambo ulilofanya si zuri. Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, mnastahili kufa, kwa sababu hamkuendelea kumlinda bwana wenu, mtiwa-mafuta wa Yehova.+ Sasa angalia kila mahali! Uko wapi mkuki wa mfalme na gudulia la maji+ lililokuwa karibu na kichwa chake?”