11 Ni jambo lisilowaziwa+ kwangu, kwa maoni ya Yehova,+ kwamba ninyooshe mkono wangu+ juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova!+ Kwa hiyo, tafadhali sasa, chukua mkuki ulio karibu na kichwa chake na lile gudulia la maji, nasi twende zetu.”
6 Alipoangalia, na tazama, pale karibu na kichwa chake palikuwa na keki ya mviringo+ juu ya mawe yenye moto na gudulia la maji. Naye akaanza kula na kunywa, kisha akalala chini tena.