20 Gehazi+ mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu wa kweli+ akasema moyoni mwake: ‘Tazama, Bwana wangu amemwacha huyu Naamani Msiria+ aende zake kwa kukataa kupokea vitu alivyoleta. Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, nitakimbia na kumfuata, nichukue kitu fulani kutoka kwake.’