2 Wafalme 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sasa Naamani, mkuu wa jeshi la mfalme wa Siria, alikuwa mtu maarufu aliyeheshimiwa na bwana wake, kwa sababu Yehova alikuwa amewapa Wasiria ushindi* kupitia yeye. Alikuwa shujaa hodari, ingawa alikuwa na ukoma.* Luka 4:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Pia, kulikuwa na wenye ukoma wengi Israeli siku za nabii Elisha; lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa,* ila Naamani Msiria.”+
5 Sasa Naamani, mkuu wa jeshi la mfalme wa Siria, alikuwa mtu maarufu aliyeheshimiwa na bwana wake, kwa sababu Yehova alikuwa amewapa Wasiria ushindi* kupitia yeye. Alikuwa shujaa hodari, ingawa alikuwa na ukoma.*
27 Pia, kulikuwa na wenye ukoma wengi Israeli siku za nabii Elisha; lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa,* ila Naamani Msiria.”+