15 “Kuna yule anayetembea katika uadilifu+ wenye kuendelea na kusema jambo la unyoofu,+ anayekataa pato lisilo la haki kutoka kwa wapunjaji,+ anayetikisa mikono yake kabisa kukataa rushwa,+ anayeziba sikio lake lisisikilize umwagaji wa damu, na anayefunga macho yake ili yasione jambo baya.+