17 ameuepusha mkono wake na mwenye kuteseka; hajachukua riba+ wala faida+ yoyote; ameyafanya maamuzi yangu ya hukumu;+ ametembea katika amri zangu;+ yeye mwenyewe hatakufa kwa sababu ya kosa la baba yake.+ Hakika ataendelea kuishi.+
6 Sheria ya kweli ilikuwa katika kinywa chake,+ wala ukosefu wa uadilifu haukupatikana midomoni mwake. Kwa amani na kwa unyoofu alitembea nami,+ na wale aliogeuza kutoka katika kosa walikuwa wengi.+