3 Mimi hapa. Leteni jibu kinyume changu mbele za Yehova na mbele ya mtiwa-mafuta+ wake: Nimechukua ng’ombe wa nani au nimechukua punda wa nani+ au nimempunja nani au nimemponda nani au nimepokea kutoka kwa mkono wa nani pesa za hongo ili nizitumie kufunga macho yangu?+ Nami nitawarudishia ninyi.”+