15 Yule anayetembea katika uadilifu wa daima,+
Anayesema mambo manyoofu,+
Anayekataa faida isiyo ya haki, ya ulaghai,
Ambaye mikono yake inakataa rushwa badala ya kuichukua kwa nguvu,+
Anayeziba sikio lake ili lisisikilize mazungumzo ya umwagaji wa damu,
Na anayefunga macho yake ili yasione maovu