Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Hupaswi kupotosha hukumu ya mkaaji mgeni+ au ya mvulana asiye na baba,+ nawe hupaswi kutwaa vazi la mjane kama rehani.+

  • Ayubu 34:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndiyo, kwa kweli, Mungu hatendi kwa uovu,+

      Na Mweza-Yote hapotoshi hukumu.+

  • Methali 31:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ili mtu asinywe na kusahau jambo lililoagizwa na kupotosha haki ya yeyote wa wana wa mateso.+

  • Yeremia 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ‘Hakika macho yako na moyo wako haviko juu ya chochote ila pato lisilo la haki,+ na juu ya damu ya asiye na hatia ili kuimwaga,+ na juu ya kupunja na juu ya unyang’anyi ili kuyaendeleza mambo hayo.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki