Kumbukumbu la Torati 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Hupaswi kupotosha hukumu ya mkaaji mgeni+ au ya mvulana asiye na baba,+ nawe hupaswi kutwaa vazi la mjane kama rehani.+ Ayubu 34:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndiyo, kwa kweli, Mungu hatendi kwa uovu,+Na Mweza-Yote hapotoshi hukumu.+ Methali 31:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ili mtu asinywe na kusahau jambo lililoagizwa na kupotosha haki ya yeyote wa wana wa mateso.+ Yeremia 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ‘Hakika macho yako na moyo wako haviko juu ya chochote ila pato lisilo la haki,+ na juu ya damu ya asiye na hatia ili kuimwaga,+ na juu ya kupunja na juu ya unyang’anyi ili kuyaendeleza mambo hayo.’
17 “Hupaswi kupotosha hukumu ya mkaaji mgeni+ au ya mvulana asiye na baba,+ nawe hupaswi kutwaa vazi la mjane kama rehani.+
17 ‘Hakika macho yako na moyo wako haviko juu ya chochote ila pato lisilo la haki,+ na juu ya damu ya asiye na hatia ili kuimwaga,+ na juu ya kupunja na juu ya unyang’anyi ili kuyaendeleza mambo hayo.’