Ayubu 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Je, Mungu mwenyewe atapotosha hukumu,+Au, je, Mweza-Yote atapotosha uadilifu?+ Yakobo 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu akiwa chini ya jaribu,+ yeye asiseme: “Mungu ananijaribu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote.
13 Mtu akiwa chini ya jaribu,+ yeye asiseme: “Mungu ananijaribu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote.