Mhubiri 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na ni nani anayejua kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu?+ Hata hivyo, atachukua usimamizi wa kazi yangu yote iliyo ngumu niliyoifanya kwa bidii ambayo ndani yake nilitumia hekima chini ya jua.+ Hilo pia ni ubatili.
19 Na ni nani anayejua kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu?+ Hata hivyo, atachukua usimamizi wa kazi yangu yote iliyo ngumu niliyoifanya kwa bidii ambayo ndani yake nilitumia hekima chini ya jua.+ Hilo pia ni ubatili.