Kutoka 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Usikubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu waadilifu.+ Kumbukumbu la Torati 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu. Methali 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mfalme hufanya nchi iendelee kusimama kupitia haki,+ lakini mtu anayekula rushwa huibomoa.+ Isaya 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wakuu wako ni wakaidi na rafiki za wezi.+ Kila mmoja wao ni mwenye kupenda rushwa+ na mwenye kufuatilia zawadi.+ Hawamtendei hukumu mvulana asiye na baba; na hata kesi ya mjane haiwafikii.+
8 “Usikubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu waadilifu.+
19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu.
23 Wakuu wako ni wakaidi na rafiki za wezi.+ Kila mmoja wao ni mwenye kupenda rushwa+ na mwenye kufuatilia zawadi.+ Hawamtendei hukumu mvulana asiye na baba; na hata kesi ya mjane haiwafikii.+