Yohana 8:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wakajibu, wakamwambia: “Baba yetu ni Abrahamu.”+ Yesu akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watoto wa Abrahamu,+ fanyeni kazi za Abrahamu. Ufunuo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ‘Ninajua dhiki na umaskini wako—lakini wewe ni tajiri+—na kufuru la wale wanaosema kwamba wao wenyewe ni Wayahudi,+ lakini sivyo walivyo bali wao ni sinagogi la Shetani.+
39 Wakajibu, wakamwambia: “Baba yetu ni Abrahamu.”+ Yesu akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watoto wa Abrahamu,+ fanyeni kazi za Abrahamu.
9 ‘Ninajua dhiki na umaskini wako—lakini wewe ni tajiri+—na kufuru la wale wanaosema kwamba wao wenyewe ni Wayahudi,+ lakini sivyo walivyo bali wao ni sinagogi la Shetani.+