10 kama walio na huzuni lakini wenye kushangilia sikuzote, kama maskini lakini wenye kuwatajirisha wengi, kama wasio na kitu chochote na bado wenye kuwa na vitu vyote.+
5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa. Mungu alichagua walio maskini+ kwa habari ya ulimwengu ili wawe matajiri+ katika imani na warithi wa ufalme, aliowaahidi wale wanaompenda,+ sivyo?