Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 26:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ‘Nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni. Nami nitaupa uzao wako nchi zote hizi;+ na kupitia uzao wako mataifa yote ya dunia yatajibariki,’+

  • Mathayo 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na msiseme moyoni mwenu, ‘Abrahamu ndiye baba yetu.’+ Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu+ watoto kutoka katika mawe haya.

  • Yohana 8:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wakamjibu: “Sisi ni uzao wa Abrahamu+ nasi hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote.+ Kwa nini basi unasema, ‘Ninyi mtakuwa huru’?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki