4 ‘Nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni. Nami nitaupa uzao wako nchi zote hizi;+ na kupitia uzao wako mataifa yote ya dunia yatajibariki,’+
9 na msiseme moyoni mwenu, ‘Abrahamu ndiye baba yetu.’+ Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu+ watoto kutoka katika mawe haya.