2 Wakorintho 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na si ajabu, kwa maana Shetani mwenyewe huendelea kujigeuza mwenyewe kuwa malaika wa nuru.+ Ufunuo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tazama! Nitawatoa wale wa sinagogi la Shetani wanaosema ni Wayahudi,+ lakini sivyo walivyo bali wanasema uwongo+—tazama! nitawafanya waje na kusujudu+ mbele ya miguu yako na kuwafanya wajue kwamba nimekupenda wewe.
9 Tazama! Nitawatoa wale wa sinagogi la Shetani wanaosema ni Wayahudi,+ lakini sivyo walivyo bali wanasema uwongo+—tazama! nitawafanya waje na kusujudu+ mbele ya miguu yako na kuwafanya wajue kwamba nimekupenda wewe.