Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Nami nitatimiza agano langu kati yangu mimi na wewe+ na uzao wako baada yako kulingana na vizazi vyao kuwa agano la mpaka wakati usio na kipimo,+ ili kujionyesha mwenyewe kuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.+

  • Mwanzo 35:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tena Mungu akamwambia: “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Zaa uongezeke. Mataifa na kutaniko la mataifa yatatoka ndani yako, na wafalme watatoka viunoni mwako.+

  • Zaburi 105:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Enyi uzao wa Abrahamu mtumishi wake,+

      Enyi wana wa Yakobo, wachaguliwa wake.+

  • Waroma 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tuseme nini, basi? Jambo lilelile ambalo Israeli anatafuta kwa bidii yeye hakulipata,+ lakini wale waliochaguliwa+ walilipata. Wale wengine hisia zao zilifanywa kuwa nzito;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki