Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akaendelea kusema: “Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.”+ Kisha Musa akauficha uso wake, kwa sababu aliogopa kumtazama Mungu wa kweli.

  • Isaya 41:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Lakini wewe, Ee Israeli, ni mtumishi wangu,+ wewe, Ee Yakobo, ambaye nimemchagua,+ uzao wa Abrahamu+ rafiki yangu;+

  • Mathayo 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na msiseme moyoni mwenu, ‘Abrahamu ndiye baba yetu.’+ Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu+ watoto kutoka katika mawe haya.

  • 2 Wakorintho 11:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Je, wao ni Waebrania? Mimi pia.+ Je, wao ni Waisraeli? Mimi pia. Je, wao ni uzao wa Abrahamu? Mimi pia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki