Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Miriamu akawa akiwaitikia wanaume:+

      “Mwimbieni Yehova,+ kwa maana ametukuzwa sana.+

      Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.”+

  • Waamuzi 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na waangamie hivyo adui zako wote,+ Ee Yehova,

      Na wanaokupenda+ wawe kama wakati jua linaposonga katika nguvu zake.”+

      Na nchi ikawa bila usumbufu tena kwa miaka 40.+

  • Esta 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 kulingana na siku ambazo Wayahudi walipumzika kutokana na adui+ zao na mwezi ambao huzuni yao iligeuzwa kuwa shangwe na maombolezo+ yakawa siku njema, wazishike ziwe siku za karamu na kushangilia na kupelekeana mafungu+ ya vitu na zawadi kwa maskini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki