Zaburi 68:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kama vile moshi unavyofukuziwa mbali, na uwafukuzie mbali vivyo hivyo;+Kama vile nta inavyoyeyuka kwa sababu ya moto,+Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+ Zaburi 83:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uwatendee kama Midiani,+ kama Sisera,+Kama Yabini+ kwenye bonde la mto la Kishoni.+ Zaburi 92:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana, tazama! adui zako, Ee Yehova,+Kwa maana, tazama! adui zako mwenyewe wataangamia;+Wote wanaofanya mambo yenye kuumiza watatenganishwa.+
2 Kama vile moshi unavyofukuziwa mbali, na uwafukuzie mbali vivyo hivyo;+Kama vile nta inavyoyeyuka kwa sababu ya moto,+Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+
9 Kwa maana, tazama! adui zako, Ee Yehova,+Kwa maana, tazama! adui zako mwenyewe wataangamia;+Wote wanaofanya mambo yenye kuumiza watatenganishwa.+