Kutoka 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 lakini huonyesha fadhili zenye upendo kuelekea kizazi cha elfu kwa wale wanaonipenda na kuzishika amri zangu.+ Zaburi 91:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+ Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+ Waroma 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+ 1 Wakorintho 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini ikiwa yeyote anampenda Mungu,+ huyo anajulikana naye.+
6 lakini huonyesha fadhili zenye upendo kuelekea kizazi cha elfu kwa wale wanaonipenda na kuzishika amri zangu.+
14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+
10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+
28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+