1 Mambo ya Nyakati 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Daudi+ na wale wanaume wazee wa Israeli+ na wakuu+ wa maelfu wakatembea kando ili kulipandisha sanduku la agano la Yehova kutoka katika nyumba ya Obed-edomu+ kwa kushangilia.+ Methali 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mji huchangamka kwa sababu ya wema wa waadilifu,+ lakini watu hulia kwa shangwe waovu wanapoangamia.+
25 Na Daudi+ na wale wanaume wazee wa Israeli+ na wakuu+ wa maelfu wakatembea kando ili kulipandisha sanduku la agano la Yehova kutoka katika nyumba ya Obed-edomu+ kwa kushangilia.+
10 Mji huchangamka kwa sababu ya wema wa waadilifu,+ lakini watu hulia kwa shangwe waovu wanapoangamia.+