34 Kisha akaingia ndani, akala na kunywa na kisha kusema: “Tafadhali, mshughulikieni mtu huyu aliyelaaniwa+ na mkamzike, kwa maana yeye ni binti ya mfalme.”+
27 Mwishowe Ahazi akalala pamoja na mababu zake, nao wakamzika katika jiji, Yerusalemu, kwa maana hawakumpeleka kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli.+ Na Hezekia mwana wake akaanza kutawala mahali pake.