Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 27:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Amelaaniwa mtu ambaye anafanya sanamu ya kuchongwa+ au sanamu ya kuyeyushwa,+ kitu kinachochukiza kwa Yehova,+ kilichotengenezwa kwa mikono ya mfanyakazi wa mbao na chuma,+ na ambaye amekiweka mafichoni.’ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)+

  • Kumbukumbu la Torati 27:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “‘Amelaaniwa yule ambaye hukubali rushwa ili kuipiga na kuiua nafsi, wakati ambapo hiyo ni damu isiyo na hatia.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • 1 Wafalme 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Hakuna kamwe mtu yeyote ambaye amepata kuwa kama Ahabu,+ aliyejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova, ambaye Yezebeli+ mke wake alimchochea.+

  • Zaburi 119:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  21 Umewakemea wenye kimbelembele waliolaaniwa,+

      Ambao wanaziacha amri zako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki