Kutoka 32:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hata hivyo, Yehova akamwambia Musa: “Yeyote ambaye amenitendea dhambi, nitamfutilia mbali kutoka katika kitabu changu.+ Ufunuo 22:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 na yeyote akiondoa lolote kutoka katika maneno ya kitabu cha unabii huu, Mungu ataondoa fungu lake kutoka katika ile miti ya uzima+ na kutoka katika lile jiji takatifu,+ mambo ambayo yameandikwa katika kitabu hiki cha kukunjwa.
33 Hata hivyo, Yehova akamwambia Musa: “Yeyote ambaye amenitendea dhambi, nitamfutilia mbali kutoka katika kitabu changu.+
19 na yeyote akiondoa lolote kutoka katika maneno ya kitabu cha unabii huu, Mungu ataondoa fungu lake kutoka katika ile miti ya uzima+ na kutoka katika lile jiji takatifu,+ mambo ambayo yameandikwa katika kitabu hiki cha kukunjwa.