Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo roho+ inayaambia makutaniko: Yule ambaye atashinda+ nitampa ruhusa ya kula matunda kutokana na ule mti wa uzima,+ ulio katika paradiso ya Mungu.’

  • Ufunuo 22:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ukiteremka kupitia katikati ya njia yake pana. Na upande huu wa mto na upande ule kulikuwa na miti+ ya uzima yenye kuzaa mazao kumi na mawili ya matunda, ikitoa matunda yake kila mwezi.+ Na majani ya miti ile yalikuwa ya kuponya mataifa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki