-
Ezekieli 47:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 “Na kando ya kijito hicho, kando ya ukingo upande huu na upande ule, kutatokea kila namna ya miti kwa ajili ya chakula.+ Majani yake hayatakauka,+ wala matunda yake hayataharibiwa.+ Kila mwezi itazaa matunda mapya, kwa sababu maji yake—yanatoka katika patakatifu penyewe.+ Nayo matunda yake yatakuwa chakula na majani yake yatakuwa maponyo.”+
-