- 
	                        
            
            Ezekieli 47:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
12 “Aina zote za miti ya chakula zitakua kwenye kingo zote mbili za hicho kijito. Majani yake hayatanyauka; wala miti hiyo haitakosa kuzaa matunda. Kila mwezi itazaa matunda mapya, kwa sababu maji yake yanatiririka kutoka patakatifu.+ Matunda yake yatakuwa chakula na majani yake yatatumiwa kuponya.”+
 
 -