Zaburi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye hakika atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,+Ambao hutoa matunda yake katika majira yake+Na ambao majani yake hayanyauki,+Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+
3 Naye hakika atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,+Ambao hutoa matunda yake katika majira yake+Na ambao majani yake hayanyauki,+Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+