Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.

  • Kutoka 21:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na ikiwa mtu atawaka hasira juu ya mwenzake kufikia hatua ya kumuua kwa kutumia hila,+ utamwondoa hata kwenye madhabahu yangu akafe.+

  • Hesabu 35:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nanyi hampaswi kuchukua fidia kwa ajili ya nafsi ya muuaji wa kukusudia anayestahili kufa,+ kwa maana lazima auawe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki