Mwanzo 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na, tena, damu ya nafsi zenu nitaitaka. Kwa mkono wa kila kiumbe kilicho hai nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa kila mmoja ambaye ni ndugu yake, nitaitaka nafsi ya mwanadamu.+ Kutoka 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na ikiwa mtu atawaka hasira juu ya mwenzake kufikia hatua ya kumuua kwa kutumia hila,+ utamwondoa hata kwenye madhabahu yangu akafe.+ Kumbukumbu la Torati 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Jicho lako lisimsikitikie,+ nawe lazima uondolee mbali hatia ya damu isiyo na hatia kutoka katika Israeli,+ ili uwe na mema.
5 Na, tena, damu ya nafsi zenu nitaitaka. Kwa mkono wa kila kiumbe kilicho hai nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa kila mmoja ambaye ni ndugu yake, nitaitaka nafsi ya mwanadamu.+
14 Na ikiwa mtu atawaka hasira juu ya mwenzake kufikia hatua ya kumuua kwa kutumia hila,+ utamwondoa hata kwenye madhabahu yangu akafe.+
13 Jicho lako lisimsikitikie,+ nawe lazima uondolee mbali hatia ya damu isiyo na hatia kutoka katika Israeli,+ ili uwe na mema.