Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 15:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “‘Lakini nafsi inayofanya jambo kwa kukusudia,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, aseme vibaya juu ya Yehova,+ katika hali hiyo nafsi hiyo lazima ikatiliwe mbali kutoka katikati ya watu wake.+

  • Kumbukumbu la Torati 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Lakini ikiwa kutakuwako mtu anayemchukia+ mwenzake, naye amemvizia, akainuka juu yake, akaipiga nafsi yake na kuiua naye amekufa,+ na mtu huyo amekimbilia moja la majiji hayo,

  • 2 Samweli 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Abneri aliporudi Hebroni,+ Yoabu akampeleka kando ndani ya lango ili aseme naye kimyakimya.+ Hata hivyo, hapo akampiga tumboni,+ hata akafa kwa sababu ya damu ya Asaheli+ ndugu yake.

  • 1 Yohana 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki