30 “‘Lakini nafsi inayofanya jambo kwa kukusudia,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, aseme vibaya juu ya Yehova,+ katika hali hiyo nafsi hiyo lazima ikatiliwe mbali kutoka katikati ya watu wake.+
11 “Lakini ikiwa kutakuwako mtu anayemchukia+ mwenzake, naye amemvizia, akainuka juu yake, akaipiga nafsi yake na kuiua naye amekufa,+ na mtu huyo amekimbilia moja la majiji hayo,
27 Abneri aliporudi Hebroni,+ Yoabu akampeleka kando ndani ya lango ili aseme naye kimyakimya.+ Hata hivyo, hapo akampiga tumboni,+ hata akafa kwa sababu ya damu ya Asaheli+ ndugu yake.