Mathayo 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa mfano, mawazo mabaya hutoka moyoni,+ mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uwongo, makufuru.+ 1 Yohana 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+
19 Kwa mfano, mawazo mabaya hutoka moyoni,+ mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uwongo, makufuru.+
15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+