Kutoka 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Yule anayempiga mtu na kumuua lazima atauawa.+ Hesabu 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Sasa ikiwa amempiga kwa chombo cha chuma akafa, yeye ni muuaji wa kukusudia.+ Lazima muuaji huyo wa kukusudia auawe.+ Kumbukumbu la Torati 27:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “‘Amelaaniwa yule ambaye kutoka mafichoni humpiga na kumuua mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
16 “‘Sasa ikiwa amempiga kwa chombo cha chuma akafa, yeye ni muuaji wa kukusudia.+ Lazima muuaji huyo wa kukusudia auawe.+
24 “‘Amelaaniwa yule ambaye kutoka mafichoni humpiga na kumuua mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)