Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Usiue.+

  • Kutoka 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Yule anayempiga mtu na kumuua lazima atauawa.+

  • Mambo ya Walawi 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Na ikiwa mtu ataipiga nafsi yoyote ya mwanadamu kiasi cha kuiua, lazima atauawa.+

  • Hesabu 35:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nanyi hampaswi kuchukua fidia kwa ajili ya nafsi ya muuaji wa kukusudia anayestahili kufa,+ kwa maana lazima auawe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki