11 Na Sulemani akamtoa binti ya Farao+ katika Jiji la Daudi,+ akampeleka katika nyumba aliyokuwa amemjengea,+ kwa maana alisema: “Ingawa yeye ni mke wangu, asikae katika nyumba ya Daudi mfalme wa Israeli, kwa maana mahali ambapo sanduku la Yehova limeletwa ni patakatifu.”+