Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana atamgeuza mwana wako aache kunifuata, nao watatumikia miungu mingine;+ na hasira ya Yehova itawaka kwelikweli juu yenu, naye hakika atakuangamiza haraka.+

  • 1 Wafalme 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na kuhusu ile nyumba yake ambamo alikuwa akae, katika ule ua mwingine,+ ilikuwa mbali na ile nyumba ya Ukumbi. Ilikuwa hivyo katika muundo. Na palikuwa na nyumba kama Ukumbi huu ambayo alimjengea binti ya Farao,+ ambaye Sulemani alikuwa amemchukua.

  • 1 Wafalme 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hata hivyo, binti ya Farao+ akatoka katika Jiji la Daudi+ akaenda kwenye nyumba yake mwenyewe, ambayo mfalme alikuwa amemjengea. Wakati huo ndipo Sulemani alipokijenga Kilima.+

  • 1 Wafalme 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Mfalme Sulemani akawapenda wake+ wengi wageni pamoja na binti ya Farao,+ wanawake Wamoabu,+ Waamoni,+ Waedomu,+ Wasidoni+ na Wahiti,+

  • Ezra 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwishowe Ezra kuhani akasimama, akawaambia: “Ninyi wenyewe mmetenda kwa kukosa uaminifu kwa vile mmewapa makao wanawake wa kigeni+ ili kuongezea hatia ya Israeli.+

  • Nehemia 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na je, si jambo ambalo halijasikiwa kwenu kutenda ubaya huu wote mkubwa kwa kukosa uaminifu kwa Mungu wetu, kwa kuwapa makao wake wa kigeni?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki