10 Na pia Ruthu Mmoabu, mke wa Maloni, ninamnunua awe mke wangu ili nimwinulie mwanamume aliyekufa+ jina katika urithi wake na kwamba jina la mwanamume aliyekufa lisipate kukatiliwa mbali kati ya ndugu zake na katika lango la mahali pake. Ninyi ni mashahidi+ leo.”