Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 38:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi Yuda akamwambia Onani: “Lala na mke wa ndugu yako, ufanye ndoa ya ndugu-mkwe pamoja naye umwinulie uzao ndugu yako.”+

  • Kumbukumbu la Torati 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na itatukia kwamba mzaliwa wa kwanza atakayemzaa ataendeleza jina la ndugu yake aliyekufa,+ ili jina lake lisifutwe kutoka katika Israeli.+

  • Ruthu 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kisha Naomi akamwambia: “Na abarikiwe huyo na Yehova,+ ambaye hakuacha kuonyesha fadhili zake zenye upendo+ kwa walio hai na wafu.”+ Naye Naomi akamwambia: “Mwanamume huyo ni wa jamaa yetu.+ Yeye ni mmoja wa wakombozi wetu.”+

  • Ruthu 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Halafu Boazi akasema: “Siku utakayolinunua shamba hilo mkononi mwa Naomi, utalinunua pia kutoka kwa Ruthu Mmoabu, mke wa mwanamume aliyekufa, ili umwinulie jina mwanamume huyo katika urithi wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki