20 Kisha Naomi akamwambia: “Na abarikiwe huyo na Yehova,+ ambaye hakuacha kuonyesha fadhili zake zenye upendo+ kwa walio hai na wafu.”+ Naye Naomi akamwambia: “Mwanamume huyo ni wa jamaa yetu.+ Yeye ni mmoja wa wakombozi wetu.”+
5 Halafu Boazi akasema: “Siku utakayolinunua shamba hilo mkononi mwa Naomi, utalinunua pia kutoka kwa Ruthu Mmoabu, mke wa mwanamume aliyekufa, ili umwinulie jina mwanamume huyo katika urithi wake.”+