Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+

  • Ruthu 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mwishowe Naomi akawaambia: “Nendeni, rudini, kila mmoja nyumbani kwa mama yake. Yehova na awaonyeshe fadhili zenye upendo,+ kama vile tu mlivyowaonyesha wanaume hawa ambao sasa wamekufa na mimi pia.+

  • Zaburi 36:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Jinsi zilivyo na thamani fadhili zako zenye upendo, Ee Mungu!+

      Nao wana wa binadamu hupata kimbilio katika kivuli cha mabawa yako.+

  • Zaburi 62:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+

      Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+

  • Maombolezo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki