Methali 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mwanamume mwenye fadhili zenye upendo anaitendea kwa kuipa thawabu nafsi yake mwenyewe,+ lakini mtu mkatili anajiletea taabu.+ Methali 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kinachotamanika katika mtu wa udongo ni fadhili zake zenye upendo;+ na maskini ni bora kuliko mtu anayesema uwongo.+
17 Mwanamume mwenye fadhili zenye upendo anaitendea kwa kuipa thawabu nafsi yake mwenyewe,+ lakini mtu mkatili anajiletea taabu.+
22 Kinachotamanika katika mtu wa udongo ni fadhili zake zenye upendo;+ na maskini ni bora kuliko mtu anayesema uwongo.+