27 Kwa hiyo, Ee mfalme, shauri langu na likubalike kwako,+ nawe uziondoe dhambi zako kwa uadilifu,+ na uovu wako kwa kuwaonyesha maskini rehema.+ Labda mafanikio yako yatarefushwa.’ ”+
38 Muwe na mazoea ya kuwapa watu, na watu watawapa ninyi.+ Watawamwagia katika mfuko wa nguo zenu kipimo kizuri, kilichoshindiliwa, kilichotikiswa pamoja na kufurika. Kwa maana kwa kipimo mnachopimia, watawapimia ninyi pia.”+