25 “‘Ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na alazimike kuuza sehemu ya miliki yake, mkombozi wa jamaa yake ya karibu atakuja pia na kununua na kurudisha kile ambacho ndugu yake aliuza.+
5 “Ikiwa ndugu wanakaa pamoja na mmoja wao awe amekufa bila kuwa na mwana wa kiume, mke wa yule aliyekufa asiwe wa mwanamume mgeni wa nje. Ndugu-mkwe wake anapaswa kumwendea, naye lazima amchukue awe mke wake na kufanya ndoa ya ndugu-mkwe pamoja naye.+
9 Ndipo akauliza: “Wewe ni nani?” Naye akajibu: “Mimi ni Ruthu kijakazi wako, basi mfunike kijakazi wako kwa upindo wa nguo yako, kwa maana wewe ni mkombozi.”+
7 Kwa njia yake tuna kuachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu+ ya huyo, ndiyo, msamaha+ wa makosa yetu, kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.+
14 Basi, kwa kuwa “watoto wachanga” ni washiriki wa damu na mwili, yeye pia vivyo hivyo aliyashiriki mambo hayohayo,+ ili kupitia kifo+ chake apate kumwangamiza+ yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi;+