Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kisha Naomi akamwambia: “Na abarikiwe huyo na Yehova,+ ambaye hakuacha kuonyesha fadhili zake zenye upendo+ kwa walio hai na wafu.”+ Naye Naomi akamwambia: “Mwanamume huyo ni wa jamaa yetu.+ Yeye ni mmoja wa wakombozi wetu.”+

  • Ruthu 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nilifikiri kwamba ninapaswa kukufunulia, nikuambie, ‘Linunue+ mbele ya wakaaji na wanaume wazee wa watu wangu.+ Ikiwa utalikomboa, likomboe; lakini ikiwa hutalikomboa, niambie, nipate kujua, kwa maana hakuna mwingine yeyote ila wewe wa kulikomboa,+ nami ninakufuata.’” Kisha akasema: “Mimi ndiye nitakayelikomboa.”+

  • Ruthu 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi mkombozi huyo akasema: “Mimi siwezi kukomboa, nisije nikaharibu urithi wangu mwenyewe. Wewe likomboe kwa kutumia haki yangu, kwa sababu mimi siwezi.”

  • Yeremia 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 ‘Tazama, Hanameli mwana wa Shalumu ndugu ya baba yako anakuja kwako, kusema: “Jinunulie shamba langu lililoko Anathothi,+ kwa sababu haki ya kukomboa ni yako, ulinunue.”’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki